Monthly Archives: Juni 2016

Tahadhari ya Uzzaji wa Mali

Juni 25, 2016

FBME Limited, kampuni ya tanzu ya Benki ya FBME (“Benki”), imegundua kwamba Msimamizi Maalum aliyeteuliwa na Benki Kuu ya Cyprus (CBC) anajaribu kuuza mali ambazo ni mali ya Benki. Jitihada za kuuza mali za Benki zinafanyika bila taarifa au ridhaa ya Meneja wa Kisheria wa Benki Kuu ta Tanzania ambaye ndio mdhibiti mkuu.

Continue reading