Monthly Archives: Januari 2016

Rais Ajibu Barua ya Mwenyekiti wa FBME

Januari 19, 2016

Rais wa Jamhuri ya Cyprus, Bw Nicos Anastasiades, ametuma jibu fupi kwa barua ya Desemba 27 kutoka kwa Mwenyekiti wa Benki ya FBME, Ayoub-Farid M Saab (ambayo inaweza kupatikana kwenye tovuti hii).

Akiijibu barua hiyo kutoka Mr Saab, Rais amesema kwamba kwa sababu suala lipo chini ya mahakama si yeye wala waziri yeyote anayeweza “… kuingilia kati, kuzungumzia au kushawishi maamuzi na utaratibu unaoendelea”

Barua kwa Rais – Wito wa Kuanzishwa Upya Uchunguzi wa Maafisa wa CBC

Desemba 28, 2015

 Mwenyekiti wa Benki ya FBME, Bwana Ayoub-Farid M Saab, ameandika Barua ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Cyprus, Nicos Anatasiades, kuonyesha madhara makubwa yaliyosababishwa na Benki Kuu ya Cyprus (CBC). Vitendo vya karibuni vya CBC ni pamoja na jaribio la kuifutia leseni, si tu kwa tawi la FBME Cyprus, bali kwa Tanzania pia.

Continue reading