Monthly Archives: Oktoba 2014

Shukran zatolewa kwa uvumilivu

Oktoba 27, 2014

Wanahisa wa Benki ya FBME Limited wanatoa shukran zao za dhati kwa wateja, wazabuni, wafanyakazi na wafanyabiashara wenzao kwa uvumilivu na uelewa wa hali hii iliokumba benki. Hii miezi mitatu ilivyopita na ufungwaji wa tawi la Cyprus kama ilivyo amriwa na Benki Kuu ya Cyprus. Miezi hii imekuwa migumu na imeleta madhara kwa wote.

FBME Limited itawakumbuka marafiki zake mara tu kipindi hiki kitakapoisha, ni matumaini yetu kuwa hali hii itabadilika hivi karibuni, na kabla Benki kuu ya Cyprus haijaleta madhara mengine.

FBME yaendelea kupinga utaifishwaji wa tawi la Cyprus

Oktoba 22 2014

FBME Limited imeanza tena juhudi za kupigana ila kuweza kuzuia uuzwaji wa tawi la  Cyprus uliopangwa na Benki Kuu ya Cyprus.

Kampuni hii tanzu, ilitoa tamko lake hilo siku ya kwanza (Oktoba 21) iliopangwa kusikilizwa kesi kwenye mahakama ya wilaya ya Nicosia, ambapo iliweka zuio la kutouza tawi la FBME Benki ya Cyprus. Kesi inaendelea.

Continue reading

Ufunguzi wa Tawi – kiana!

Oktoba 20 2014

Tawi la Cyprus la benki ya FBME limefunguliwa leo asubuhi baada ya kurudi ofisini msimamizi wa tawi hilo ambae aliteuliwa na benki Kuu ya Cyprus. Kama tulivyo wapa habari, tawi hilo lilizuiwa na Msimamizi huyo kuendelea na shughuli zake za kawaida wiki iliopita, wakati alipokuwa anaenda likizo.

Continue reading

Namna Pekee ya Kuendesha Benki!!

Oktoba 13, 2014

DinosChristofides, Msimamizi wa tawi la FBME Cyprus, aliyeteuliwa naBenki Kuu ya Cypruschini yaAzimiolaAmri, hatakuwepo ofisini tangu Oktoba 13 hadi 20mwaka 2014,na ameacha maelekezo ya kwambahakunahundi itakayotolewakwa kipindi hiki.Kwa maneno mengine, hakuteua naibukufanyakaziyakebinafsi ya kuidhinishakila malipo.Takribani, huduma yake isiyokuwa ya kawaidaitaanzatarehe 20 Oktoba.

Continue reading

fbmeltd.com Tovuti Yawafikia Wengi Duniani

Oktoba 10, 2014

Maelfu ya kompyuta duniani kote wanapata tovuti ya fbmeltd.com, kama inavyoonekana kwenye takwimu za hivi karibuni za matumizi. Idadi kubwa ya watu kutoka Amerika ya Kaskazini wanaipata tovuti hii na mara kwa mara huleta mrejesho. Wengine wengi katika EU na CIS pia ni wafuasi makini, pamoja na maelfu nchini Cyprus. Kwa ujumla, tangu tovuti ilipozinduliwa mapema Agosti kumekuwa na washiriki 425,000 binafsi kwenye tovuti kutoka nchi 79.

Continue reading

Utambi umekorogeka … 1

Haieleweki kama Benki Kuu ya Cyprus imeelewa matokeo ya uamuzi wake katika kufuata na kufunga benki katika azimio lake juu ya tawi la FBME Cyprus iliotoa jioni ya tarehe 21 Julai, kama wanatambua uharibifu walioisababishia Cyprus.

Hivi karibuni waliojitokeza kuhoji ukimya uliokithiri juu ya mamlaka ya benki ni wanachama wa Upper House wa Bunge la Urusi.

Continue reading

Kesi ya Mahakama ya Wilaya kusikilizwa Oktoba 21

Septemba 30, 2014

Tarehe 29 Septemba, Mahakama ya Wilaya ya Nicosia ilipanga maombi ya muda yaliowasilishwa na wabia wa FBME Bank kwa ajili ya kusikilizwa tarehe 21 Oktoba 2014.

Kama sehemu ya utaratibu wa maombi hayo, wanahisa wa FBME Bank Limited, waliwasilisha maombi hayo tarehe 14 Agosti 2014, ili kusaidia yatakayo kuja katika usuluhishi wa kesi mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Biashara mjini Paris, ambayo wanahisa wanaomba haki za mikataba na mwekezaji zieleweke baina ya nchi ya uwekezaji  kati ya Lebanon na Cyprus iliosainiwa mwaka 2002.

Ilithibitika na kusisitizwa kuwa ahadi ya kutokutoa amri ama kuweka makubaliano ya uuzaji wa tawi baina ya Benki Kuu ya Cyprus na Mamlaka yenye Azimio, mpaka hukumu ya maombi ya mpito ipite.

FBME Bank yawasilisha taarifa yake kwa FinCEN

Septemba 23, 2014

Uwasilishwaji wa ripoti kwa Idara ya Hazina ya FinCEN ofisi ya Washington DC Marekani unaendelea. Hii ni kwa mujibu wa kipindi cha siku 60 kilichoruhusiwa kwa ajili ya kukabiliana na ilani ya FinCEN ya kutafuta na taarifa ya mapendekezo iliyotolewa mwezi Julai.

Taarifa ya kurasa 28 kwa umma imewasilishwa kwa niaba ya Benki na wanasheria wake wa kimataifa Hogan Lovells. Nakala ya taarifa hii ni inapatikana hapa.

Continue reading

Maendeleo ya Kesi ya Benki ya FBME

Septemba 18, 2014

Tarehe 17 Julai, FinCEN alitangaza Taarifa ya Matokeo na Mapendekezo dhidi ya FBME Bank. Amri hiyi illitaka FBME iwasilishe majibu yake ya umma ifikapo tarehe 22 Septemba. Kampuni ya sheria ya kimataifa ya Hogan Lovells ilitakiwa kuwasiliana na FinCEN na kwa upande mwingine kushirikiana na wataalam wa Enst and Young kufanya uchunguzi huru kuhusiana na mifumo na sera za Kupambana na Fedha chafu ndani ya FBME na kuona kama mifumo na sera hizo zinalingana na mamlaka za Benki Kuu ya Cyprus na zile za Umoja wa Ulaya.

Continue reading