Author Archives: Editor1

Kauli kuhusu Hotuba kwenye Bunge la Tanzania iliyoihusu FBME Bank Ltd

21 Juni, 2021

“Tunafahamu kuhusu kauli ya hivi karibuni (FBME Bank resurfaces in Parliament over payments – The Citizen)   kwenye Bunge la Tanzania ya mbunge mkongwe wa Bunge hilo, kuhusu kuendelea kushindwa kwa Benki Kuu (BOT) na Bodi ya Bima ya Amana (DIB) kuwezesha amana zilizopo kwenye benki ya FBME kufikiwa na kulipwa kwa wenye amana tangu benki hiyo ilipowekwa chini ya usimamizi.

Ifahamike kuwa benki ya FBME ilikuwa na ukwasi wa kutosha na uwezo wa kuwalipa wateja wake ndani ya Tanzania na pia kwenye tawi lake nchini Cyprus kabla haijawekwa chini ya usimamizi.

Tunapenda kuelezea masikitiko yetu kwamba mwenye amana na waliokuwa wafanyakazi wa benki ya FBME wameendelea kutopokea ushirikiano kutoka Benki Kuu na Bodi ya Bima ya Amana, na kwamba baadhi ya wenye amana wamefariki dunia tangu benki hii ilipowekwa kwenye usimamizi bila hata kupata amana zao zilizokuwa benki. Hili ni Janga!

Sisi kina Saabs mara zote tumekuwa tayari kusaidia (na tumekuwa tukiomba fursa hiyo) katika kuipatia utatuzi hali hii kwa wateja/wenye amana, waliokuwa wafanyakazi na wadai pia”

Wanahisa Waonya Kuhusu Madai Yajayo

Agosti 19, 2014

Wanahisa wa FBME Benki watatumia kila upenyo kisheria uliopo, kwa kupinga uhalali wa Benki Kuu ya Cyprus kutoa mamlaka ya uuzaji wa tawi la Cyprus Hii ni kesi ya wazi ya Benki Kuu ya Cyprus kipitiliza mamlaka yake. Benki Kuu imepuuza ukaguzi wa hivi karibuni kuonyesha kwamba FBME Benki inakidhi mahitaji ya kupambana na pesa chafu kwa Benki Kuu ya Cyprus na Sheria zote muhimu za Ulaya. Uamuzi wa Benki Kuu ni wenye madhara si tu kwa Benki ya FBME lakini kwa sekta ya benki ya Cyprus kwa ujumla. Tunaamini kwamba uamuzi mbaya wa kutaka kuiuza Benki unaficha juhudi za wadau wengine za kutaka kuichukua benki tajiri na yenye fedha kuliko zote nchini Cyprus kwa kutumia nguvu za serikali. Tutatumia kila liwezekanalo kisheria kuzuia uuzaji huu na tunaweka ilani kwa mnunuzi yeyote kwamba anapaswa kuwa na ufahamu wa mazingira haya.

Taarifa kutoka Stavros Zenios

Machi 26, 2015

Katika kutangaza kujiuzulu kwake kutoka Bodi ya Wakurugenzi wa Benki Kuu ya Kupro ya Ijumaa, Machi 20, 2015, Stavros Zenios iliyotolewa imeandikwa taarifa kwa umma katika Kigiriki, ambayo yeye pia waliotajwa kwenye blog yake. Kauli hii katika Kigiriki liliendeshwa katika kamili kwenye tovuti habari Stockwatch, na tumekuwa nafasi ya ruhusa ya kutoa kuhusiana na tovuti yake: http://www.stockwatch.com.cy/nqcontent.cfm?a_name=news_view&ann_id=219817.

Continue reading

Nini Sisi Sasa Jua

Machi 26, 2015

Mengi imekuwa wazi katika michache ya mwisho wa wiki kwamba hatukujua kabla shukrani kwa Flari katika vyombo vya habari, kujiuzulu kutoka Benki Kuu na matokeo ya uchunguzi rasmi. Kwa mara ya kwanza katika maana halisi, mwanga imekuwa kumwaga juu ya hali ya Julai jana kibabe uwekaji wa hatua Azimio juu ya FBME benki ya Cyprus tawi na kamba ya matokeo ya uamuzi huo.

Continue reading

Cyprus Bunge kusikia Sasa Machi 31

Machi 27, 2015

Mpya tarehe ya kusikilizwa katika utunzaji wa kesi FBME Bank na Cyprus Baraza la Usimamizi Kamati Wawakilishi sasa kuwa juu ya Jumanne Machi 31, kwa mujibu wa ripoti iliyochapishwa. Awali, Kamati ilikuwa kuwa uliofanyika kusikia juu ya 17 Februari, lakini hili kuahirishwa kwa ombi la Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Costas Clerides, kwa sababu ya athari kutokea kwenye kesi mbalimbali za kisheria. Tovuti ya Bunge Cyprus, http://www.parliament.cy/easyconsole.cfm/id/326, anaandika kwamba wale walioalikwa kikao tarehe 31 Machi ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Gavana wa Benki Kuu ya Cyprus, Mkurugenzi Mtendaji na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa CBC, na mkuu wa Jamhuri ya uhalifu wa kifedha mapigano kitengo, Mokas.

FBME Ltd yakanusha habari bandia

7 Julai 2017

 Hivi karibuni kuna nyaraka zimechapishwa katika vyombo vya habari na mitandao zikieleza habari na madai bandia yasiyo na msingi na ya uongo inayotuhumu makosa mbalimbali ya FBME. Sisi, kama FBME Ltd, tunakataa kabisa taarifa hizo na makala hizi pamoja na tuhuma maalum.

Kati ya madai yanayohusishwa na ukaguzi huru uliofanywa na wakaguzi, FBME Ltd ingependa kuweka wazi, ili kuweka kumbukumbu sawa kuwa ukaguzi wote wa ulioagizwa kufanywa na Benki na/au Wasimamizi wa Sheria wote wamekiri  FBME haijawahi kuhusishwa makosa. Kwa hali hiyo madai yoyote yatakayo kinyume na hapo yanapotosha kwa makusudi na ni ya uongo, kwa lengo la wazi la kujenga hisia ya uwongo kwa umma na rasmi.

Tunahifadhi haki zetu zote za kisheria dhidi ya chapa zilizotoka na vilevile chombo kilichotoa taarifa na ripoti za siri ambayo ni mali ya Benki kinyume cha sheria. FBME Ltd itachukua hatua zote za kisheria dhidi ya makala haya ambao wamechapisha habari bandia. Habari hizi za  bandia zina madhara mabaya kwa sifa ya Jamhuri ya Cyprus, Benki pamoja na wateja wake.

Mahakama ya Sheria Cyprus Yaruhusu Wanasheria wa FBME Kupatiwa Nyaraka Muhimu

4 Desemba 2016

Mnamo Novemba 29, 2016 Mahakama ya Utawala ya Cyprus, inayosikiliza kesi ya FBME dhidi ya Benki Kuu ya Cyprus (CBC), imeiagiza CBC, kama Mamlaka ya Azimio ya Nchi, na Kamati Azimio, kuwaruhusu wanasheria wa Benki ya FBME kupata nyaraka muhimu kuhusiana na kuchukuliwa kwa Benki ya FBME tawi la Cyprus na CBC mwezi Julai 2014.

CBC imepewa siku saba kutekeleza agizo hilo.

Amri hiyo, ambayo inaonyesha hatua muhimu ya kesi hiyo ya kisheria, inaipa timu ya wanasheria ya FBME fursa ya kufanya mapitio ya mawasiliano, ripoti na nyaraka nyingine kuhusiana na kesi hiyo.

Hii ni sehemu ya muendelezo wa hatua za kisheria kuhusiana na maamuzi yaliyochukuliwa dhidi ya FBME mwaka 2014 na baadae.

Kesi katika mahakama ya Cyprus, Mahakama ya Usuluhishi ICC mjini Paris, na hatua za kisheria nchini Marekani zinaendelea.

Ufafanuzi: Mahakama ys Usuluhishi ya Kimataifa ICC yaiamrisha Jamhuri ya Cyprus Kuwaruhusu Wamiliki na Wakurugenzi wa FBME Kuingia Ofisini

Agosti 7, 2016

Kwa maamuzi yote mawili ya tarehe 27 Mei na Julai 26, 2016, yaliyofikiwa na mahakama ya usuluhushi ya ICC ya kupinga Mabwana Ayoub Farid Michel Saab na Fadi Saab, wamiliki wa FBME, dhidi ya Jamhuri ya Cyprus, yaliamua kwamba wadai watapata nafasi ya kuingia kwenye majengo ya Tawi wakati wa masaa ya kawaida ya kazi. Kauli mbalimbali za umma hivi karibuni zilikuwa zinatolewa na mamlaka za Cyprus kuhusiana na maamuzi haya. Kauli hizi zinaweza kutafsiriwa kuwa ni za kupotosha.

Continue reading

ICC Yaiagiza CBC Kuwaruhusu Wamiliki na Wakurugenzi wa FBME Kurudi Mjengoni

1 Agosti 2016

Jopo la usuhishi la Mahakama ya Kimataifa ya Biashara (ICC) mjini Paris limeiagiza Jamhuri ya Cyprus kuwaruhusu wanahisa na wakurugenzi wa Benki ya FBME kuingia kwenye majengo ya FBME nchini Cyprus. Waliondolewa Machi 31 2016 wakati Benki Kuu ya Cyprus (CBC) ilipowafukuza wafanyakazi 140 9 wafanyakazi katika Cyprus.

Continue reading

Jaji wa Marekani Aamuru Subirisho

22 July 2016

Julai 22, 2016, Jaji Cooper wa Mahakama ya Wilaya ya Columbia, Marekani ameamuru “kwamba utekelezaji wa hukumu ya mwisho [kuiwekea vikwazo Benki ya FBME] isubiri hadi hapo Mahakama hii itakapotangaza tena.” Kwa hiyo, hukumu ya hivi karibuni ya FinCEN haitafanya kazi wakati pande zote zikisubiri maelekezo zaidi kutoka Mahakama hiyo. Nakala ya suburisho II ya Jaji Cooper iemambatanishwa hapa.

.