Fitch Yahoji Azimio

Agosti 23, 2014

Moja ya makampuni matatu makubwa duniani ya Viwango vya Mikopo, Fitch Ratings, ilitoa ripoti Agosti 19, 2014 kuhoji uwezo wa wasimamizi wa benki, kama vile Benki Kuu ya Cyprus, kutatua matatizo yanayohusiana na matawi ya benki za kigeni. Fitch ilinukuu mfano wa Benki ya FBME ya Cyprus katika suala hili. Kampuni hiyo pia ilipendekeza kuwa hatua hiyo huru inaweza kudhoofisha usimamizi kwenye hali ngumu, ambayo wanahisa wa FBME waliandika na ndio hasa benki kwa sasa inakabiliwa nayo.

Katika majibu yaliyotumwa kwa Fitch, FBME Limited imeeleza matatizo ambapo Benki Kuu ya Cyprus, katika kuchukua hatua bila ushirikiano na makubaliano ya Msimamizi Mkuu,  Benki Kuu ya Tanzania, imesababisha vitendo ambavyo ni haribifu. Walieleza kwamba ilichukua hadi mwezi mmoja baada ya azimio maalum kutolewa kuhusu suala la FBME tawi la Cyprus ndipo mawasiliano kati Mdhibiti wa ugenini na wa nyumbani yalifanyika. Na ndio wakati huo tu mawasiliano kwenda Benki Kuu ta Taznania yalifanyika baada ya majaribio kadhaa kushindwa. “Kukosekana kwa ushirikiano kwa kiwango hiki ni matumizi mabaya ya usimamizi na huongeza tu hatari ya mchakato kuwa mbovu,” waliandika.

Maoni ya Fitch Ratings yanaweza kusababisha kutonyamaza katika ngazi ya kimataifa juu ya matumizi ya hatua azimio maalum nchini Cyprus.

Bonyeza hapa kwa taarifa kamili kutoka Fitch Ratings Agency na hapa kwa barua ya mwanahisa.