Mkuu wa FinCEN Ajiuzulu

2 May 2016

Imetangazwa kwamba mkuu wa Idara ya Hazina ya Marekani FinCEN, Jennifer Shasky Calvery anaondoka kwenye idara hiyo. Kutokana na maelezo ya FinCEN, siku yake ya mwisho itakuwa 27 Mai, 2016.

Alijiunga na FinCEN mwaka 2012 na ameiongoza idara hiyo kwenye matatizo ya hivi karibuni ya kuyashambulia mabenki ikiwamo Benki ya FBME, kwa madai kuwa yana mifumo dhaifu ya kupambana na fedha chafu. Madai haya dhidi ya Benki ya FBME yamefunguliwa mashataka kwenye mahakama ya Maerkani.

Inasemekana Bi shasky Calvery anatarajia kujiunga na benki ya HSBC.