Barua ya Wazi ya Alekos Markides kwa Rais

Desemba 15, 2015

Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Cyprus, Alekos Markides ameandika barua ya wazi kwa Rais Nicos Anastasiades, akimuonya madhara kwa jinsi kesi ya Benki ya FBME inavyoshughulikiwa, pamoja na hatua kadhaa za kidhalimu zilizochukuliwa na Benki Kuu ya kisiwa cha Cyprus dhidi ya Benki. Matokeo ya hatua hizi yameivua nguo serikali ya Cyprus na walipa kodi wake kutokana na madai makubwa ya kuichafua hadhi ya Benki.

Kuona tafsiri ya barua ambayo Mheshimiwa Markides ameituma kwa niaba ya wamiliki wa Benki ya FBME, bofya hapa