Jaji wa Marekani Aamuru Subirisho

22 July 2016

Julai 22, 2016, Jaji Cooper wa Mahakama ya Wilaya ya Columbia, Marekani ameamuru “kwamba utekelezaji wa hukumu ya mwisho [kuiwekea vikwazo Benki ya FBME] isubiri hadi hapo Mahakama hii itakapotangaza tena.” Kwa hiyo, hukumu ya hivi karibuni ya FinCEN haitafanya kazi wakati pande zote zikisubiri maelekezo zaidi kutoka Mahakama hiyo. Nakala ya suburisho II ya Jaji Cooper iemambatanishwa hapa.

.