Septemba 18, 2014
Tarehe 17 Julai, FinCEN alitangaza Taarifa ya Matokeo na Mapendekezo dhidi ya FBME Bank. Amri hiyi illitaka FBME iwasilishe majibu yake ya umma ifikapo tarehe 22 Septemba. Kampuni ya sheria ya kimataifa ya Hogan Lovells ilitakiwa kuwasiliana na FinCEN na kwa upande mwingine kushirikiana na wataalam wa Enst and Young kufanya uchunguzi huru kuhusiana na mifumo na sera za Kupambana na Fedha chafu ndani ya FBME na kuona kama mifumo na sera hizo zinalingana na mamlaka za Benki Kuu ya Cyprus na zile za Umoja wa Ulaya.