Author Archives: Fbmeltd

FBME Yasema Asante kwa ‘Wadau’

Septemba 3, 2014

FBME Limited ilituma ujumbe wa shukrani kwa wale watu mbalimbali na mashirika ambayo wamejitokeza kutoa msaada kwa Benki katika mapambano yake dhidi ya Azimio na hatua zilizowekwa dhidi ya tawi la Cyprus. Kuna uvumi wa wazi ulioenea kwa umma kwamba hatua zilizochukuliwa na Benki Kuu ya Cyprus zimekuwa za haraka sana, si za haki na zenye madhara makubwa. Kuna ukimya wa kimataifa kuhusu matendo ya mamlaka ya benki ya Cyprus dhidi ya tawi la benki ya kigeni, wakati hatua hizo zimechukuliwa bila kushauriana na Mwangalizi Mkuu aliyepo Makao makuu nchini Tanzania.

Malalamiko Yamiminika kwa msimamizi Maalum

Agosti 22, 2014

Kuendelea kuzuia miamala kwenye tawi la Benki ya FBME Cyprus kumeleta malalamiko zaidi ya 1,000 yaliyoandikwa na ya maongezi kwa Msimamizi Maalum wa Benki Kuu ya Cyprus. Kilichoanza kama tone, kikageuka kuwa mafuriko na sasa kimekuwa tsunami. Mapendekezo yametolewa kwamba Msimamizi Maalum huenda alizidisha mamlaka yake chini ya Azimio Maalum tangu kuteuliwa kwake tarehe 21 Julai. Inasemekana pia kuwa amekuwa ni kiini cha kesi iliyoko mahakamani kama inavyosemwa na walalamikaji.

Continue reading

FBME yatoa wito ripoti ya upelelezi wa PWC itolewe

6 Agosti 2014

Benki Kuu ya Cyprus uliipa kazi kampuni ya kimataifa PWC kufanya uchunguzi katika sekta yote ya fedha katika mji wa Cyprus, ikiwa ni pamoja na FBME, uchunguzi ambao ulifanyika kutoka Juni 17 hadi Julai 4 2014.  Matokeo ya ripoti hii hayajatolewa kwa FBME, wala wanahisa wake, wala si kwa umma wa Cyprus, ambao inawezekana kuwa walililipia uchunguzi huo. Ripoti hii inapaswa itolewe.

Continue reading

Malipo Lazima Yaanze tena

6 Agosti 2014

Depositors wanapaswa kuwa na haki ya kupata huduma ya akaunti zao katika tawi la Cyprus FBME. Malipo yamezuiwa na msimamizi Maalum ya Benki Kuu ya Cyprus, ingawa anadai kuwa kuidhinisha shughuli. Ni wachache sana walioidhinishwa. Madai ya kwamba hii ni kutokana na kukosekana kwa mabenki mwambata, yaliyotolewa na Benki Kuu ya Cyprus, si kweli: kuna mabenki yapo.

Continue reading

Barua iliyotumwa Benki Kuu ya Ulaya

Agosti 5, 2014

Mawasiliano yameanzishwa na Benki Kuu ya Ulaya (ECB) na wanahisa wa FBME Limited, kampuni ya tanzu ya FBME Benki, kuainisha wasiwasi katika hatua zilizochukuliwa na Benki Kuu ya Cyprus na chini ya utendaji wa msimamizi wake Maalum tangu Julai 21 2014.   Barua hiyo imetumwa kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Benki Kuu ya Ulaya, Bibi Daniele Nouy Usimamizi tarehe 5 Agosti 2014.

Continue reading